TUNACHORA RAMANI ZA NYUMBA +255 575 230 097
"tunachora ramani za nyumba na kutumiwa kwa njia yoyote popote ulipo,kwa njia ya mtandao,kujengewa kwa mafundi wetu waliobobea kwa gharama nafuu , kwanzia msingi hadi finishing usiogope gharama kwani unafanyiwa kabadilio (initial estimations) kabla hujajenga ujiandae ,piga simu hio hapo juu, tunapatikana Musoma mjini +255624454669 whatsup
tangazo
Saturday, 14 July 2018
Thursday, 16 April 2015
Nikujulishe
kama unahitaji unania ya kutaka kupata msingi (basic) kuchora kwa komputa, ramani za nyumba, barabara , gardens degsine kwa software za Autocad, Revert nArchtectural , Archocad n.k darasa karibu linafunguliwa. mjini sumbawanga kwa wanao hitaji njoo tuzungumze.
mashariti mengine ya darasa hili ni kwamba :-
![]() |
MPANGILIO WA BOMBA ZA MAJI NA PUMP ZAKE |
![]() |
MPANGILIO WA MADARASA WA KISASA |
- uwe unaujuzi wa komputa
- umesoma kuanzia form four na kuendelea
- ujue hesabu
kama utakuwa unatingwa sana na kazi za kawaida darasa linaweza kuwa linaendeshwa usiku namanisha kuanzia muda wa sa 11 jioni, mara baada ya kuwa tume jipanga vizuri tutakuwa na projector ili kutumia muda kidogo tuwe tumemaliza program.
Thursday, 9 April 2015
kizwite secondary complex resdential bulding inakuja sasa
information of our customers! I would like to inform and urge those customers willing suspension of their work incomplete for some time, this is because the potential outside of the office. About 3 weeks since getting a high school project Kizwite consisting of five buildings food hall, Hostel, cooking stoves students, building computer labs, offices have made these maktaba.majengo be busy, but for now will continue to work as usual for buildings these have been completed already.
aidha napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru Headmaster,na mwalimu wa miradi Mwl Siwango (mwalimu wa miradi ) bila kusahau timu yangu ya chorakwanza studio
kila la kheri wasomaji na wateja wetu kwa simu 0757230097
![]() |
yaangalie mwonekano wake hayo majengo |
![]() |
Eng. Regnard kushoto ,Eng Majid (katikati ) kulia ni Mwasibu (Anitha) |
Thursday, 15 January 2015
Thursday, 13 November 2014
welcom Drawing and Designing studio
tunapatikana maeneo ya sumbwanga sekondari
![]() |
baadhi ya michoro inaayochorwa |
![]() |
hii ndio Drawing studio karibuni sana kushoto ni Eng . Regnard silanga Kulia ni Ms Anitha Gakwasi (Mwasibu ) |
Wednesday, 5 November 2014
fursa fursa
kama upo mkoa wa Rukwa hususani Sumbawanga mjini, karibu tujenge kijiwe cha ufundi usanifu tusaidie jamii inayotuzunguka hasa wale waliopata elimu ya ufundi usanifu lakini hawana mawazo nini cha kufanya. unajua si kila mtu amezaliwa anajua lahasha na si kila mtua amezaliwa na pesa , sasa kwanini mwenzako ahangaike wakati kazi zipo bhana ,tuapate sehemu ya kukutana tujadili nini tufanye tuikomboe jamii, piga simu 0757230097
![]() |
Naitwa Eng Regnard Silanga Kushoto ,Yash Thak center Haydra operator ,Eng Nassoro (concrete Mater) |
Subscribe to:
Posts (Atom)