![]() |
Naitwa Eng Regnard Silanga Kushoto ,Yash Thak center Haydra operator ,Eng Nassoro (concrete Mater) |
"tunachora ramani za nyumba na kutumiwa kwa njia yoyote popote ulipo,kwa njia ya mtandao,kujengewa kwa mafundi wetu waliobobea kwa gharama nafuu , kwanzia msingi hadi finishing usiogope gharama kwani unafanyiwa kabadilio (initial estimations) kabla hujajenga ujiandae ,piga simu hio hapo juu, tunapatikana Musoma mjini +255624454669 whatsup
tangazo
Wednesday, 5 November 2014
fursa fursa
kama upo mkoa wa Rukwa hususani Sumbawanga mjini, karibu tujenge kijiwe cha ufundi usanifu tusaidie jamii inayotuzunguka hasa wale waliopata elimu ya ufundi usanifu lakini hawana mawazo nini cha kufanya. unajua si kila mtu amezaliwa anajua lahasha na si kila mtua amezaliwa na pesa , sasa kwanini mwenzako ahangaike wakati kazi zipo bhana ,tuapate sehemu ya kukutana tujadili nini tufanye tuikomboe jamii, piga simu 0757230097
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
like it admin
ReplyDeletekila lakheri u can check me on tbcueltd.bogspot.com and swaxbz.blogspot.com also u can follow me on www.tbccltd.co.tz we ni mjaSILIA MALI MZURI BIG UP KAKA
ReplyDelete