kama upo mkoa wa Rukwa hususani Sumbawanga mjini, karibu tujenge kijiwe cha ufundi usanifu tusaidie jamii inayotuzunguka hasa wale waliopata elimu ya ufundi usanifu lakini hawana mawazo nini cha kufanya. unajua si kila mtu amezaliwa anajua lahasha na si kila mtua amezaliwa na pesa , sasa kwanini mwenzako ahangaike wakati kazi zipo bhana ,tuapate sehemu ya kukutana tujadili nini tufanye tuikomboe jamii, piga simu 0757230097
 |
Naitwa Eng Regnard Silanga Kushoto ,Yash Thak center Haydra operator ,Eng Nassoro (concrete Mater) |